January 25, 2016

Ajali Nyingine leo..Basi la Adventure Lagongana na Noah..Idadi ya Waliofariki iko Hapa

Ajali hii iliyotokea maeneo ya Chamwino, Dodoma ikilihusisha basi la Adventure na gari binafsi aina ya Noah inadaiwa kuchukua uhai wa watu watatu.
Tuwaombee marehemu wapumzishwe mahala pema
ANDIKA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment