February 25, 2016

Mwanamuziki Mromboso Amuweka wazi Baba yake Mzazi baada ya Dereva Bodaboda Kujiita Baba Maromboso Kwenye Kipindi cha Tegua Mtego


Maromboso kutoka Yamoto Band ameamua kumuonyesha baba yake Mzazi baada ya Jamaa mmoja wa Bodaboda Kujitangaza kuwa yeye ndiye Baba Maromboso, Maromboso aliposti Picha na Kuandika “Huyu Ndo Baba yangu …..Mzee Yusuph Kilungi … Sasa huyo jamaa Wa Tegua mtego ” Boda boda anayejita Baba Maromboso ajipange“

No comments:

Post a Comment