Hamida Hassan
Ule msemo kwamba duniani ni
wawiliwawili umeonekana kuwa na nguvu baada ya kuwepo kwa binti mrembo
anayefanana sana na staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu.

Ijumaa lilifanya
jitihada za kutaka kumjua kwa undani lakini katika kuonesha si mtu wa
kutaka umaarufu kivile, alipotafutwa alikataa kutoa ushirikiano akisema
yeye hataki mambo ya magazeti. Jionee picha!
No comments:
Post a Comment