Chanzo cha ajali hiyo ni gari kubwa aina ya semi-trela lilikuwa limekata trela lake katikati ya barabara kuu inayoelekea Dodoma Inn, na basi hilo inasemekana lilikuwa spidi sana na bila kujua kuwa katikati kulikuwa na trela hilo na katika jitahada za kujaribu kulikwepa liliingia kwenye mtaro na kugonga mti ambao.
Inasemekana hakuna aliyepoteza maisha ila majeuhi ni wengi na wamekimbizwa katika hospitali!



CRDT KANDL YETU
No comments:
Post a Comment