mwandishi wetu alimuibukia katika onesho la Kundi la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume Family.Man X akiwa na ‘kidosho’ wake walianza kuonesha dalili za kufanya uchafu huo majira ya saa tatu usiku ambapo walikuwa wakikandamiza bia ‘kwa kwenda mbele’ huku wakikumbatiana na kupeana mabusu motomoto hadharani kiasi cha kuwafanya watu waliokuwa wakiwatazama kupigwa na butwaa.Mashuhuda waliokuwa eneo hilo walidai kuwa majira ya saa 8 usiku, Man X na demu wake walitoka nje ya ukumbi na kuingia kwenye gari yao ndogo aina ya Toyota Baloon yenye namba za usajili T 558 AJG huku wakiwa hoi kwa kilevi.“Walipoingia ndani
TAZAMA KITENDO CHA AIBU MAMA ALICHOMFANYA MWANAE JAMAN DUUUH
No comments:
Post a Comment