September 23, 2014

NISHA KWENYE HEADLINE TENAH NI BAADA YA KUOMBWA KUWA BALOZI WA JAMII


Baada ya filamu zake nyingi kufanya vizuri

sokoni na kusapoti jamii isiyojiweza mara kwa mara, mashabiki wa Salma Jabu Nisha wanataka muigizaji huyo awe balozi wa mambo ya kijamii kupitia kazi zake za sanaa 
Hiyo inatokana pia na kuwa Nisha ni mmoja wa waigizaji wanaojituma katika kazi zao huku akijiweka mbali na skendo ziizo na maana. Nisha amekuwa akitoa hamasa kwa wanawake na pia kusaidia yatima hususani kila mwezi.

No comments:

Post a Comment