September 23, 2014

DUH!ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 33 KUONGEZA TITI LA TATU...UNAJUA KWANINI SHUKA NAYO HAPA




Jasmine Tridevil katika pozi.* *
MWANAMKE aliyejitambulisha kwa jina la Jasmine Tridevil (siyo jina lake halisi) mwenye umri wa miaka 21 amedai kufanyiwa upasuaji na kuongezwa titi la tatu kupitia mahojiano aliyoyafanya redioni.* *Jasmine ambaye ni raia wa Tampa jijini Florida nchini Marekani anayejishughulisha na utoaji huduma ya massage, alilipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 sawa na milioni 33.4 za Tanzania kufanyiwa upasuaji huo.* *Mwanamama huyo katika mahojiano na Real Radio 104.1 alidai kuwa ameamua kufanya hivyo ili asiwe na mvuto kwa wanaumena pia apate ustaa katika tv
lakin pia mrembo huyu wazazi wake wamkataa lakin yeye amesema lazima azama yake ya kuwa staa itimie...tayari maeshasambaza picha zake akiwa na matiti matatu ambapo yeye amesema ni furaha kwake

No comments:

Post a Comment