Rose anataka kuchukua udhibiti wa mtoto wao Sebastian, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa mujibu wa TMZ. Atamruhusu Wiz kumtembelea mwanae. TMZ imedai imeziona nyaraka za talaka ambazo zinaonesha kuwa wapenzi hao waliachana Jumatatu hii kwa kile kilichodaiwa tofauti zisizosuluhishika.
Rose anataka kuchukua udhibiti wa mtoto wao Sebastian, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa mujibu wa TMZ. Atamruhusu Wiz kumtembelea mwanae. TMZ imedai imeziona nyaraka za talaka ambazo zinaonesha kuwa wapenzi hao waliachana Jumatatu hii kwa kile kilichodaiwa tofauti zisizosuluhishika.
No comments:
Post a Comment