October 7, 2015

Mwili wa Mchungaji Christopher Mtikila tayari umeagwa Dar, safari imeanza kwa ajili ya Mazishi.. #RIP (Picha)

.
.
RIP Mchungaji Christopher Mtikila… Asubuhi ya  Octoba 4, 2015 taarifa ya Majonzi ilitufikia ambapo taarifa yenyewe ilikuwa inahusu msiba wa aliyekuwa Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha  DP Christopher Mtikila amefariki kwa ajali ya gari wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.

.
.
Mwili wa Marehemu umeagwa leo October 7,2015 kuelekea mkoani Njombe na watu mbalimbali wamejitokeza kuaga mwili wa Marehemu katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa Serikalini.
.
.
.
Mke wa marehemu, mchungaji Christopher Mtikila wa DP.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wwa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal ni miongoni waliouwaga mwili wa marehemu Christopher Mtikila wa DP.
.
.
.
.
.
.
.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad ni miongoni mwa waliouwaga mwili wa marehemu Christopher Mtikila wa DP katika viwanja vya Karimjee Dar es  Salaam.
.
.
.
.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiondoka katika viwanja vya Karimjee baada ya kuuwaga mwili wa marehemu Christopher Mtikila leo katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

No comments:

Post a Comment