Na Paul Chengula
MWANAMKE mmoja ajulikana kwa jina la Mery Daniely, Mkazi wa mbagala jijini Dar es salaam,ameelezea jinsi jirani yake alivyokubwa na mkasa wa kipigo kutoka kwa mume wake ambae hujihusisha udereva wa mabasi makubwa,
Mwanamke huyo aliiambia CHENGULA NEWZ kuwa mume huyo amekuwa akimuhisi kuwa mdada huyo ni muhuni kwa kuchepuka wakati akiwa safarini jambo ambalo mdada huyo alieuwawa alisemaga hajawahi kuchepuka
Sikuchache mbele mume huyo alirudi nyumbani na kumkuta mkewe hayupo zaidi ya saa moja ndipo alipo hisi kuwa mkewe amekwenda kuchepuka,mume huyo aliondoka na kurejea jion na kumkuta mke wake akiwa ameketi akimsubiri ili wale chakula cha usiku pamoja ndipo mume huyo akaanza kuibua mada hiyo ,
Katika hali isiyo tegemeka mume huyo alichukuwa kitu chenye ncha kali na kuanza kumshambulia mke wake kwa makosa ya kuondoka nyumbani bila kuaga,
Majirani wali chukuwa hatua ya kuvunja mlango na kuingia ndani kutokana na kusikia sauti kubwa ya kuomba msaada baada ya kuingia ndani wakamkuta mama yule akiwa anavuja damu kila mahala
May 15, 2015
UNYAMA MKUBWA HEBU ANGALIA MWANAUME ALIVYOMUUA MKE HII LEO
About Unknown
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Related Posts:
UDAKU
Labels:
irene uwoya,
MAAJABU,
UDAKU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment