Hivi ndivyo alivyoandika Charles Makongoro Nyerere .. Asanteni sana wote mliokuja kutufariji kama familia na wale mnaoendelea kuja asanteni sana. Mwili wa marehemu John Nyerere, umeishawasili nyumbani Msasani , heshima za mwisho zinaendelea kutolewa kwa mjibu wa ratiba. Hatuna cha kuwalipa wote kwa kutufariji hata kwa ujumbe, mungu awabariki sana.
crdt facebook/Charles Makongoro Nyerere
No comments:
Post a Comment