April 11, 2015

MWANAFUNZI WA KISOMALI AWACHANGANYA WANAFUNZI WA CHUO MWANZA WAKIMBIA KUSIKOJULIKANA WAKIJUA GAIDI..




Kutoka chuo kikuu cha SAUT Mwanza, wanafunzi wa shahada ya uzamili katika biashara MBA, walikuwa na mtihani ghafla akaingia kijana wa wa Kisomali, watu wote mbio kila mtu akipitia upenyo ajuao yeye.

Purukushani kwa kwenda mbele, Mhadhili mbio, wanafunzi mbio.Kumbe yule kijana ni mwanafunzi pia ila alikosea Darasa.

CRDT UDAKU

No comments:

Post a Comment