

Professor mmoja wa chuo kikuu nchini amenaswa akaiwa na mwanafunzi wake katika nyumba ya kulala wageni ..wakifanya mapenzi kwa dhumuni la kumuongzea dent huyo maksi kufuatia mwaka wa kwanza mawafunzi huyo kufeli masomo mawili ya huyo Profesa ambapo baadhi ya wanafunzi wamedai kuwa kufanya hivyo kwa dent huyo aliamini kuwa ndio takuwa mwanzo wa yeye kufaulu masomo yake \habari hii kwa hisani ya blog za nje
<<<<PICHA ZA PROFESA AKIWA NA MWANAFUNZI HIZI HAPA>>>
No comments:
Post a Comment