| Hali hiyo ya ushangilia ilimpandisha mzunguka Queen Keety ambapo aliamua kubadilisha staili hiyo na kujigaragaza chini na kuanza kumwaga radhi kwa kusokomeza chupa hiyo sehemu zake za siri huku akibimbilika na kujiraza kwa staili za kingono ngono hali hiyo ilisababisha.wanaume wakware kuvamia steji na kugombea kumtunza pesa huku wengine wakimsokomeza pesa sehemu za siri Baada ya kumaliza kufanya uchafu huyo wa kujizalilisha Queen Ketty aliilejesha bia hiyo ya serengeti kwa mwenyewe hata hivyo jamaa mwenye bia hiyo aligoma kuipokea akidai kwamba imetapakaa shombo na kuhovia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. |
Baada ya kususiwa bia hiyo Mnenguaji huyo aliichukua na kutokomea nayo katika nyumba vya kupunziki
No comments:
Post a Comment