January 3, 2015

CHEKI MJENGO WA KIFAHARI ANAOISHI ..MSANII LADY JAYDEE NI SHIDAH.....2015 EXCLUSSIVE






lady jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo , mziki umeweza kumpatia mafanikio makubwa ikiwemo kupata tuzo kibao kimataifa na kimataifa, mbali na hilo pia jay dee anamiliki band inayoitwa machozi bendi, naa pia mgahawa wa kisasa unaoitwa nyumbani lounge, hii leo tunkuletea exclusive picha ya nyumba ya kifahari anakokaa 
mwanadada huyo, picha zote ziko hapa shuka nazo





No comments:

Post a Comment