kutungiwa sms zinazosambaa mitandaoni yote hii ni kwasababu ya
fitna iliyoendelea.... kwakweli hii Miss haijawahi kutokea Tanzania, wa Tanzania wa sasa sio wa zamani wakuburuzwa buruzwa tuuuu, wanaelwa kila kitu, maneno mengi yameongelewa na Lundenga
usijiaibishe katika kipindi hiki kigumu.... daaah inasikitisha but naamini mtalifanyia kazi na kutujuza wa Tz maana ni mambo ya ajabu vitu vya ajabu, mara miaka 18, mara 23, mara 25 ilimradi kila mmoja anasema lake. Lundenga hebu rudisha Miss Tanzania ya zamani watu wakisikia Miss Tanzania inakuja tunaanza kutafuta nguo mwezi mmoja maana lilikuwa moja ya shindano kubwa Tanzania, ila kwa sasa si apeche si aloloo.... jua umewaudhi sana watu tena sana, mbona kwa Briggite, Hapiness hawakusema?? iweje huyu?? kwa kipi haswa watu wamuonee wivu yeye?? Sitti anaweza akashindana na Ms Alfred kwa kitu chochote?? kwanini hawakuwasema hao waliopita wampinge yeye
KUPATA HABARI ZETU KIRASHI
KABISA UKIWA FACEBOOK BOFYA HAPA KISHA U LIKE
|
No comments:
Post a Comment