Taarifa niliyoipata hivi punde inahusiana na msiba wa aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family.
Kupitia Tweet ya Anna Peter aliyoiweka dakika chache zilizopita, amesema amezungumza na meneja wa kundi hilo Said Fella ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
Endelea kufuatilia zaidi hapa!
October 21, 2014
SAD NEWS !! STAA WA MUZIKI WA BONGOFLEVA YP AFARIKI DUNIA RIP YP.............
Tags
About Unknown
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Related Posts:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment