October 2, 2014

RIHANNA KUIGIZA FILAMU MPYA YA JAMES BOND....UNAJUA SCENE ATAYOCHEZA NI SHIDAH

Kuna tetesi kuwa Rihanna ataigiza kwenye filamu mpya ya James Bond, ‘Bond 24.’
Kwa mujibu wa mtandao wa HollywoodLife, Rihanna atakuwa na uhusika mdogo kwenye filamu hiyo na maongezi kati yake na waandaaji yanaendelea. Chanzo kimoja kimeuambia mtandao huo kuwa Rihanna ataonekana kwenye sehemu chache tu na kuna uwezekano akaimba wimbo kwenye filamu hiyo.

KUTAZAMA VIDEO KALI NA NZURI MOJA KWA MOJA UKIWA FACEBOOK BOFYA HAPA NA KISHA U LIKE       FACEBOOK INFO IS HOT 

No comments:

Post a Comment