October 17, 2014

KWELI POMBE SI CHAI TAZAMA HUYU MREMBO ALIVYOFANYIWA BAADA YA KULEWA

Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali wakajilia vyao na kutimuka wakimwacha dada mtaroni bila msaada wowote. Pombe ni mbaya jamani eleweni jambo hili msijekupata majanga zaidi.

No comments:

Post a Comment