Kama unayo kumbukumbu nzuri katika moja ya machapisho ya FichuoTz tulikuletea habari juu ya ujio wa mwanamuziki David Adedeji Adeleke (DAVIDO) kutoka nchini Nigeria ambaye analetwa nchini na kituo cha redio kiitwacho Times Fm. Sasa imebainika kuwa Clouds Fm wamedhamiria kuharibu dili hilo la redio pinzani, na siri hivyo imetolewa na Vinega pamoja na ushahidi wa barua...Fuatilia walichotuambia hapa
October 18, 2014
CLOUDS FM NA TIMES FM UTATA MTUPU KUHUSU KUSHUKA KWA DAVIDO TANZANIA..CHEK HAPA
Tags
About Unknown
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Related Posts:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment