September 11, 2014

WhatsApp yamuumbua Bishost soma hapa Makavu Live ....ni sheeeedah...



I hate WhatsApp na Mitandao mingine kama fb from the bottom of my heart (nipo huko kwa sababu kuna some meaningful contacts), lakini acha tu niwepo, maana wakati mwingine hii mitandao inanisaidia kufanya research zangu na Biashara.

Tatizo ni badala ya watu kuitumia kuwasiliana kwa mambo ya maana na kuwa na mipaka ya ni watu gani wapate messages wanazoandika, basi unakuta kwenye STATUS za whatsApp chini ya profile, messages kama vile:

"I luv u dady, can't wait to 've ur f" (Unakuta ni uzushi tu, hakuna chochote, hajaolewa wala nini, kama sio ufuska ni nn?)

"Oh baby, I can't forget that f u gave me last night" (Sijui alikutana na mtu tu akamnyapua, yeye tayari keshaanza kumpublish kama baby)

"We are the real lovers, no one can separate us" (Unakuta ndoa inatemblea drip, ina migogoro balaa)

"luv luv luv u my husband, u know ur a gentleman" (Mkianza kuchat anamdis jamaa)

"This is my beloved son, he was born when his father was going to Europe, so two in one!" (Europe tandika! Hajui hata Airport iliko!)

"Kill them with succes n burry them with Smile" (Unakuta mambo yamemgomea, hasa vitoto vya shule, may be hata amedisco, mafanikio yatakuwa yake!)

"I'm single but this does not mean I'm available" (Hapa amechakazwa, hadi hajijui status yake!)

etc, etc, etc.,

Bado wale wanaojipa matumaini na kujifanya mara wanampenda Mungu sana, sijui Yesu na wakati hata hawamjui! 

Bado picha za uchi - kuonyesha nyonyo, mattako, mara wanapeana kisses,mara wamekumbatiana.

Yaani kuna vimbwenga visivyokuwa vya kawaida na visivyoisha! Wengi wao huwa nadelete namba zao za simu, nikiwavumilia huwa nawablock. Wale ninaowavumilia sana huwa nawaacha tu kama walivyo!

Baada ya kufanya research kuhusu hawa watu hasa wa WhatsApp ndipo nilipogundua yafuatayo:

1. Wanaoandika message kuonyesha wanawapenda wenzi wao, wala hawawapendi - ukiwapa tu nafasi ya kuchat wanaanza kuandika maneno ya usaliti kuhusu wapenzi wao

2. Wanaoandika msgs kujifanya wamewamiss wenzi wao - hawana hata wapenzi wa kusingizia, wanajifariji baada ya kukataliwa, wewe waruhusu tu kidogo waongelee habari ya mapenzi, mbona majanga!

3. Wanaoandika msgs kali kali kuhusu mapenzi e.g. "leave me alone", "Kwani mapenzi/mwanaume kitu gani" - wametendwa baada ya kuwavamia wanaume kichwakichwa

4. Wengine wanaandika msgs kama vile "Sexy me", "love myself", - hawa wanatafuta attention ya wanaume na kujaribu kujipandishia self esteem.

5. Bado wale wanaoweka picha za magari, majumba na kuandika "Hapa ndio kwa hubby", sijui "I'm tired driving this BMW thing, need to change a car!", - hawa wanataka kujionyesha kuwa mambo yao safi hata wasipoolewa maisha yatasonga kwa nguvu ya wallet.

Yaani kuna mengi, mengi .........

MUENDELEZO!! TAZAMA PICHA ZAIDI ZA WALE WASICHANA BIKIRA WALIVYOPITA MBELE YA KING MSWATI ILI ACHAGUE MKE WA 14

No comments:

Post a Comment