September 25, 2014

WEMA SEPETU 'WANAONIPONDA WENGI WANATUMIA TECNO NA HUAWEI..HAWANIPI SHIDAH soma hapa zaidi

Katika hali iliyoshangaza wengi,beautiful oninye mwenye endless fame mnyange Wema Sepetu amesema watu wengi wanaomsema kwenye mtandao they don't have life na wengi wao wanatumia Tecno na Huawei kulog in kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kumponda, akichezesha taya na Ephraim Kibonde katika kipindi cha jahazi amesema watu hao hawampi shida hata kidogo kwani wamepigika na yupo juu zaidi yao.


My Take:Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Gallaxy S4?
then kunawatu wanatumia tochi lakin wana hela kuliko ......zile zilizotumika kwenye bunge la katiba

No comments:

Post a Comment