R.I.P SIDE BOY MNYAMWEZI
Msanii wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na nyimbo kama 'Kua uone', 'Usimdharau usiyemjua', Said Salim 'Side Boy Mnyamwezi' amefariki dunia leo katika Hospitali ya Nyangao iliyopo Mkoani Lindi.
R.I.P Side Boy Mnyamwezi.taarifa hii ni kwa mojibu wa channel makin hapa Bongo EA TV ..
Msanii wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na nyimbo kama 'Kua uone', 'Usimdharau usiyemjua', Said Salim 'Side Boy Mnyamwezi' amefariki dunia leo katika Hospitali ya Nyangao iliyopo Mkoani Lindi.
R.I.P Side Boy Mnyamwezi.taarifa hii ni kwa mojibu wa channel makin hapa Bongo EA TV ..
No comments:
Post a Comment