"Nimeweza kujifunza kitu kikubwa sana kupitia Dada Dida na muvi yake nimeweza kutambau kuwa unaweza kupata matatizo ukiwa ugenini na kitu alichoweza kukifanya katika uzinduzi huo ni kitu kikubwa sana mimi na wish day moja na mimi nitaweza kuja kuwa kama yeye na kuweza kuifikisha tasnia ya muvi mbali na amini nitaweza kwani naamni hakuna kinacho shindikana chini ya jua."
PICHA TANO RASMI MTANDAONI ZA WAREMBO AMBAO WANADAIWA KUMFUNIKA MASOGANGE LIVE NI HATAREE ZICHECK
No comments:
Post a Comment