September 30, 2014

LA HAULA YULE MCHUNGAJI MWENYE VITUKO AJA NA HII ANAWAKANYAGA WAUMNI TUMBONI NI BAADA YA KUWANYESHWA PETROLI NA MAJANI

Yule Pastor Mwenye Vituko Vingi Kutoka South Afrika anayejulikana kwa jina la Lesego Daniel amekuja na Mpya baada ya kuwalisha majani waumini na kubadilisha petrol kuwa Juice ya Apple , Sasa eti anawaponya Waumini wake ambao wanasumbuliwa na magonjwa kwa kuwakanyaga migongoni...Angalia Picha Hapo Juu.

No comments:

Post a Comment