Kutoka Uganda, Miss Uganda Stella Nantumbwe aka ‘Ellah’ ndiye wa kwanza kutajwa kuiwakilisha nchi hiyo. Kutoka Zimbwabwe ametajwa DJ wa kike wa Power Fm, Butterphly Phunk huku jina la tatu likiwa la Mkenya, Melvin Alusa.
M-Net na Endemol SA watakuwa wanataja majina ya washiriki watatu kila siku hadi shindano hilo lilipewa jina la ‘Hot Shots’ litakapoanza.
M-Net na Endemol SA watakuwa wanataja majina ya washiriki watatu kila siku hadi shindano hilo lilipewa jina la ‘Hot Shots’ litakapoanza.
No comments:
Post a Comment