September 29, 2014

BAADA YA SUGU KUACHANA NA MKEWE..MKEWE AACHALIA UJUMBE MZITO INSTAGRAM AKIMWAGA MACHAOZI

Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ! well....kupitia Instagram Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema. Faiza aliandika........

No comments:

Post a Comment