August 10, 2014

KUNDI LA ZE COMEDY ORIJINO LADAIWA KUVUNJIKA RASMI

Hakuna ubishi kua miaka michache iliyopita kund la Orijino Komedi ndio lenye mashabiki wengi hapa nchini. Ilikua ikifika mda wa kurushwa kipindi kila mtu alikua hangoki katika TV yake. Umaarufu wao uliongezeka zaid pale walipohama EATV na kuhamia TBC.Umaarufu wao uliendelea kuwepo hadi siku zq karibuni ambapo ulishuka kwa kasi sana, taarifa ambazo Bongoclan tumezipata ni kua kwa sasa kundi hilo limevunjika na kila mtu anafanya kazi kivyake. Chanzo chetu kutoka kituo cha TV walichokua wakifanya kazi kinasema kua kwa sasa kila mtu ana hamsini zake na hawafanyi kazi tena pamoja.
bado tunaendelea kufuatilia taarifa hzi kwa undani na redio washirika

No comments:

Post a Comment