May 23, 2015

WADAU WA iiH ONA HUYU MWANAUME,ANAVYOMFANYIA MKE WAKE WA NDOA NI BALAA ......DUH!



Marafiki wa iiH blog Naombeni ushauri....Mi naitwa nimeolewa na ninamtoto mmoja wa mwaka mmoja na ninafanya kazi ya kuuza mgahawa wangu binafsi..Tatizo langu mume wangu ananipiga jamani hadi nahisi ipo siku ataniuwa,bila sababu yeye anakunywa mimi sinywi pombe sasa nikirudi kazini nimechoka hivyo napika chakula tunakula napunzika na mwanangu akija tu anaanza fujo huko ndani mara mtoto ajala akashiba,hata ukichelewa tu kufungua mlango dakika moja akiingia anatoa mkanda anaipiga yaani ananipiga tu bila sababu sasa alinioa kwa ndoa ilikuja kunipiga najiuliza nitarudje nyumbani kwetu au nifanyaje kweli hii ni jana alivyonipiga hadi kanitoa nyama,kunazingine siwezi waonyesha ananiumiza kweli naombeni mnishauri nifanyaje hapa jaman ilia ukimuona huyo mwanaume mchana utasema malaika mi ndio najua nisaidien jamn sijui kapata msichana mwingine ndio maana ananifanyia hvi najuta hata kutunza usichana wangu na kumpa yey kisha kunifanya hivi jamani punda nafuu jamn

No comments:

Post a Comment