Kidoa amesema amekuwa akimshangaa mrembo huyo kwa kujianika mtandaoni akionekana ana kalio kubwa kumbe siyo orijino.
“Masogange cha mtoto kwangu, ni kweli kalio analo lakini siyo kubwa kama linavyoonekana kwenye picha anazopiga. Nasikia huwa anajaladia kwa kuvaa taiti zenye masponji, sasa atashindana na mimi?” alihoji Kidoa.

No comments:
Post a Comment